Director kakoso unajua sana Nathani kila msanii wa move sas ivi anatamani kufanya kazi na wew kaka its your time bro unauwezo mkubwa sana endelea kutufundisha jinsi ya kufanya kazi nzuri safi sana
I really love this especially kipara with the English you speak bt cjui kama Huwa unajua chenye unaongea ama ni part of the movie to keep us enjoying big up director kakoso
so mens are all equal😂😂😂😂😂kakoso forgive me but we learn from our mistakes,,,,and once learned we agree on our mistakes and ask for forgiveness and everything moves on well❤❤❤❤much love from kenta🎉🎉
Hiyo scene ya Mwasi amekutana na Mwakatobe sijaipenda kwasababu wamekutana kienyeji sana wakat ingependeza zaid kama wangekutana nyumban kwa Mwakatobe na kuwe kuna mazingira ya kishirikina kisha afanye vitu vya kishirikina zaidi ya hapo ili kutuma hicho kimbola chake kwa Kakoso.
Aaa mwassi weee njoo kwangu jaman!!🤣🤣
Next 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤kakosotunawasubili mnaweza
Jamani mwape wanawake maua yao yani wakisimamia msimamo wao haubadiliki Dah!!!🎉🎉🎉❤
Nimependa sanq kingereza asee
Jamani kipara wachana na kingereza😂😂😂
Director kakoso unajua sana Nathani kila msanii wa move sas ivi anatamani kufanya kazi na wew kaka its your time bro unauwezo mkubwa sana endelea kutufundisha jinsi ya kufanya kazi nzuri safi sana
Thanks
@@directorkakosodirector pokea maua yangu toka kenya 🎉🎉🎉🎉 kazi yako mzuri kwa Kila moviee
Oro ini oro
Kazi nzuri dear friend i love you movies
Kingereza cha kipara mie hoi jmnii 😂😘🥰
Umeongeaje..??😂😂naulizaje😂🤣mwaktombe si amekutupia kitu kizito🤣 Kenya's love❤❤
Kakoso kwa kweliiii unacezaaaa vizuliii sanaaa team yenu nayipenda sana mwansi big up sana wa kwanza from🇧🇮🇧🇮🇧🇮
🎉🎉
Mwakatobe kyk ubota wake soma hiyooo😂😂unanikosha san unavyoongea hata kam sipo kweny mood nitacheka tu😂😂
I really love this especially kipara with the English you speak bt cjui kama Huwa unajua chenye unaongea ama ni part of the movie to keep us enjoying big up director kakoso
Niko apa juya kipara tu aki kingereza chake ndo kina ni bamba miye😂❤❤❤
Kakoso kula chuma icho😂😂
Kakoso mimi mkenya napenda mwasi
Jifunze kingereza bro
Kipara na kizungu😂😂😂😂😂
Kipara n hicho kidhunguuuuuuu😅😅😅😅😅
Wazungu husema all niolo🤣🤣🤣🤣 kipara utanimalizaaa
kiingereza kimevamiwa leo🤣🤣🤣
😂😂😂
Kipara bana😂😂all in all😅😅
😂😂😂😂😂weè kipala ww😅😅😅
Soma iyooooooooo
hahaha mwakatope bwana soma iyooooo
Waoooooh kazi nzuri sana kwa mwasi. Naomba kuigiza na mimi
Kipara hicho kiengereza chako cha kuombea maji usitutilie bana
Wow Jaden uko vizuri bila rasta# kakoso kazi nzuri tunajifunza madhara ya uongo humu na mengine mengi🎉🎉🎉
Kipala wanaman kumbe ni mzungu congratulations kipala wanaman❤❤❤
Mwakatobeeee mwambaaa cheeefu domo ka pochii😂😂😂😂😂
Kingereza tuu cha Kipara😅😅
maana sijui kakisooomea wapi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😂😂😂😂 mwakatobee sasa😂😂😂
Nakubali sana🎉🎉
Nyie aki mwas mzur
Kakoso mimi wewe apewi pole mwenye kilanga mm nipo upande wa mwasi ila kazi zako nzuri sanaaa
Kipara unatukera bhana
Jaden ukiwa huna rasta unapendeza usisuke tena
Sawa 🙏
Jaman mbona tumesabu😂😂😂
Dah bro kipara ck hz uno vzr
Mungu akutangulie
😂😂😂😂😂😂ww mwasi mroge huyo mwanamke anakutukanaje hvyo 😁😁😁😁
Tunaomba usitucheleweshee muendelezo 😋😋😋
😂😂😂ncheke mie
The English is very fanny
Ushakula kibola kakoso😂
Safi sana kazi nzuri 💯❤
🔥🔥🔥lishangazi lina wivu jamani 😂😂😂eti mshenzi wee😂😂😍👏
Waooo mwakatobe uyooo
Mwakatobe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nice move 👍👍👍👍🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Iyo kingereza ya kipara nimetii😂😂
Kakoso n noma sana👊🥰
so mens are all equal😂😂😂😂😂kakoso forgive me but we learn from our mistakes,,,,and once learned we agree on our mistakes and ask for forgiveness and everything moves on well❤❤❤❤much love from kenta🎉🎉
Kwli haelekei kufuga rsta😂
Nipe likes
Sengo mashaallah ❤❤
Big up brooh❤
You are nice for everybody ?😅😅😅 OK nice
Uno la sogojo 😅😅
kakoso nakukubali sana nakufutilia nikiwa mozambique
Oro ovo oro much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪😂😂😂😂😂
kiingereza cha kipara 😂😂😂😂 im sory im sorry so sorry
Nakukubali kutoka Congo drc
Kanzi nzuri Sana endelea kupambana Mungu atakufikisha mbali
Kipara na kiingereza 😅😅😅😅🎉
maana acha ile ya kupatwa kwa jua na mwezi sasa huku ni kupatwa kwa kiingereza🤣🤣🤣🤣🤣
Kiswanglishi
Uno la sogonyo😂😂😂
Ngapi hukoooooo
Soma vitabu kipara
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤from Kenya 🇰🇪
Soksi ya baba itaendelea lini ❤❤❤
Mbona iliisha
Kipara na kingereza wee hatari 😂😂
Much love ❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂Et shem darling 😂😂😂😂😂ila kipara
olo in olo 😂😂😂😂
Jaden anakuwa mzuri sasa izo rasta hazikuwa viruri
Ila ni asivae ...Vipuli maana hayo sio mapambo yetu wanaume...
😢@@HassanSadiki-l5c
😁😁😁😁😁🤣mwasi unatukusiya wanawake tunamapezi yazati kakoso pewa azabu unaistaili🇧🇮
Kipara😂😂😂😂 kingereza chako t mie hoi🤣🤣 bt big up sana kaka mkubwa❤.
😂uno la sogojo hilooo
Umitisha sana❤
Ulipo nipo mpendwa napenda San kanzi zako broo zipo moto San Mungu akubaliki popote ulipo
tatzo unatoa Sana uno la sogojo ndy maana hatusabcrib😂😂😂😂😂
Jaden rasta hazikufayi ukohesamu❤bila rasta🎉🎉
Kipala na kingeleza sasa😂
Mm ndo wakwanza kutoka kenya wapi likes zangu
From congo Nipo na nynyi 100%
Waomba like hawachelewi😂😂😂😂
Unajua sana Kaká
hii kizungu ya kipara,,oro in oro 😅😅😅
Kazii nzuri sana nimeipenda
English for me😂😂😂😂😂nice
next pleaz
Kipara hii kisungu yako inahitaji likes kumi tu😂😂
Kipara mtu 🔥🔥
Kamwasi kazuri 🎉🎉🎉🎉
Mimi ni mukenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 jakwanza kuona
Kabisa jaden kupendeza sasa
Hii movie mbona kalii sanaa
Kumbe kakoso sio kakosa yanikwamba mwasi atani mweupee😂
Huyu kipara si achane tu na kizungu😂😂😂aongee tu kiswahili chake kizungu ni za watu wengine ila si ya watanzania😢😂😂😂😂
Hiyo scene ya Mwasi amekutana na Mwakatobe sijaipenda kwasababu wamekutana kienyeji sana wakat ingependeza zaid kama wangekutana nyumban kwa Mwakatobe na kuwe kuna mazingira ya kishirikina kisha afanye vitu vya kishirikina zaidi ya hapo ili kutuma hicho kimbola chake kwa Kakoso.
wa kwanza leo..kazi nzuri Director kakoso
Kipara Acha kutupiga na vingereza 😂😂
😂😂😂😂kiingeleza typing
Good job