Hapo nilikuwa drs la7 ukitoa madaftar yangu kulikuwa halikos daftar maalumu la nyimbo zote nimehifadhi humo brek ilikuwa nikuimba tu namashost wangu nilikuwa na best mmoja anatokea kigoma alikuwa kiboko wa voice nzur
Yaani nakumbuka mdongo kweli mtaani rusharoho dili wiki mzima unavuma kama kunarusharoho siku fulani yaani ya harusi watu wanatoka kaskazini na kusin ile nafsi hupati ya kuangalia
Subscribe for more taarab music ruclips.net/user/BURUDANIAFRICA
Mkuu naenda pata ule wimbo wa nipe nipe raha mtoto wakitanzania
Back in 1999 au 98, nice memories from my mom
Hapo nilikuwa drs la7 ukitoa madaftar yangu kulikuwa halikos daftar maalumu la nyimbo zote nimehifadhi humo brek ilikuwa nikuimba tu namashost wangu nilikuwa na best mmoja anatokea kigoma alikuwa kiboko wa voice nzur
Naipenda sana y2k enzi hizo nipo mdogo mwenyew, kwetu hata TV hakuna tunaenda kuangalia mtaa wa saba duuh.
Nakumbuka mbali sanaa
Y2k haichuji 💞💞🔥💝😘😍cyo mitaarabu ya sasa!
Y2k na hangaisha wasomi ,doctors na engineers😘😘😘😘😘
Those dayz nkiwa class 2 Kenya nlikua nimeikram yote hii nyimbo pamoja na paka mapepe
Mtandao Nimetawala Naitikisa Dunia
Huu wimbo nakumbuka Morogoro nyumbani tulikuwa tunaimba hatariii Khadija wewe ni Mama yao
Y2k.Namkumbuka mama kiboko. Ligula"b"Mtwara.
Jamani enzi hizo niko kama wote vilee bado sijaitwa mama
Nakumbuka hapo Khadija kopa anatoka na kuanza kujulikana Kenya niko shule ya msingi
Zamani gani ngoma ilitikisa sana hiyo mwenyezi atupe umri mrefu
Tunaosikiliza 2021 gonga like tuonane
Reminds me of 2000 living at Temeke Viternary near TAZARA Flats
Jamani kwa raha zangu
Khadija Kopa zamani sio sasa balaa
Kibokoo kweeli mammmaaaahhh...penda saana huna mbaya...
Hiyo ulikuwa ni romours kuwa mwaka 2000 mwisho wa dunia kila kitu kitasimama including computer. Inakumnusha Marehemu Amina Chifupa akitanga Clouds
Naipenda sana hii taarabu
Wakati huu Khadija kopa ndipo alipokua anaimba, asahivi amekwisha hana lake jipya, hakuna wa kushindana nae.
Aa lovely song remember me tanga chumbageni mallet.2000 wapi br Flavian christopher
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
2024 😊😊😊
Nlikuwa class 5 wakati huo jamani memories
Yaani nakumbuka mdongo kweli mtaani rusharoho dili wiki mzima unavuma kama kunarusharoho siku fulani yaani ya harusi watu wanatoka kaskazini na kusin ile nafsi hupati ya kuangalia
Mambo ya pwani. Yaliyopita yanafuraisha.
nimeomba sana muiweke kinyang'unya jamani hizi mm ndio nyimbo zangu nazipenda sana zinanikumbusha kipindi hicho nikiwa tanga
kweli wimbo wa kinyang`unya ….
Andika jinalake vzr itatoka
Naupenda
Pia mm naipenda kinyangunya sn... naomba muilete humu
YAKALE DHAHABU HADIJA HAP BIG UP BUT NOW NOT NISE
Just great
Yanikumbusha mbali sana yaani hapo bado mdogo na harusi nyumbani zikiwa kwa wingi naomba uniekee ila zoba zoba ilooo
Safi sana enz hzooooo
+Gideon Msangi kabisa. Na usisahau Ku share na marafiki
Y2k yaniku mbusha mbali sana
Salaam Ktambo
Enzi za 97 nakumbuka mengi sana
Namaliza shule
cool songs
Thanks. I am glad unaburudika na muziki wa taarabu . Dont forget to subscribe and share with friends
safii
Hapa raha tuuuu, hizi ndo taarab za kuskiza yaani moto
❤❤❤
Pambe tuuuuuuuuuuuuiuuuuu.
y2k 2000 hii.when i was young
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Y2K inanikumbusha nipo form three ilikuwa c mchezo
Mungejua ninavyo jimwayamwaya saa nane hii na nyimbo hii nimekosa usingizi basi burudani tupu
1995 henzi hizo taraabu taraabu kweli,sio sasa mugokaa mtupu tu.
😁😁😁 ety mugokaa
😂😂😂 Dah! Mbona unasema ukweli sana?
ujana ni moshi jamani
Tunaosikiliza 2025 tujuane
Nilikua bado mdogonikiisiliza kama imeimbwa leo
Nikisika hii nyimbo najiona bikra vile.. enzi hizo sijui madem n nn.. enzi hizo nategemea kuletewa sio leo naenda mbio ndio nile.
Marekani na Japan walikaa kunifikiria
ezi zetu temeke kata kumi na mne lrikuwa sio powa
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Hahahahaha!! Kulikuwa na vibaka sana akina Kadasi, Jumanne n.k. Nilikuwa naishi Vertinary kituo Cha magari ya Mwenge Tazara.
hatariiii
Hizi ndio taarabu
Asante. Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Laa hee hapa ndo pake
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Raha tupu
😅 ok
Y2k yamaanisha nini?
kipindi hicho wanachuana na Nasma kidogo
Enjoy na usikose ku share na marafika kwenye mtandao wa facebook , twitter na whatsap
Mama tupia homa la jiji humu
RUclips