SHETANI |Ep 1|
HTML-код
- Опубликовано: 27 мар 2025
- #Bhailam#Naomy#comedyplus#2024#
⭐⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use Sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
For Sponsorship, Advertisement/Marketing And Booking,
Please Contact Us Call/Whatsapp : +255758515863.
Video content managed by : Nasry Khan (Bhailam)
Subscribe hapa : / @comedyplustz
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Like Ukurasa wetu wa Facebook : / comedyplustz
Maua kwa mwasi jamani kama unamfahamu kabisa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😂😂😂😂
Mwasi the best ❤❤❤❤
Tunamjua aiseeee
Mwasi kajiunga na bhailam mashallah
Kakoso🤪
Nampenda sana mwasi jaman sijui anaish wapi
🇨🇩 ❤
Mwasi km mwasi
❤❤❤❤❤❤
Ohooo Amkeni uko mambo yeshakua mambo huku
Picha linajisoma hv ss *SHETANI❤❤*
Wapi likes za naomi. Nguvu za Mungu ziko very powerful kuliko za shetani😂😂
Number 1 today much love from BURUNDI 🇧🇮 team Strong mkowapi gong Likes 5 Guys 😢😢
Tupo kama kahawa❤
Team strong 😊
Wangap tumefurahi kuona KAKOSO wa mchongo kwenye COMEDY PLUS 😂😂😂😂😂😂😂😂 ONGEREN NYTE GUYS ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kakoso kwenye umbo la mwasi😂😂😂😂
Alieona kwamba Mzee ndooo uzuli nikucane shetani agonge like hapa👍👍
😂😂😂
Naona km ni Bhailam uyo
@@mohammedkidody5618 eee ni yy
Waoooo nime furahi kumuona baba angu Simba nagupenda sana baba angu simba
Huyu mchungaji wa mchongo aiseee!!! Nusu muislam na nusu Mkristo!!!😂😂😂
Ukisikia kufeli kwa mwandishi ndo hapo sasa!!! Hebu rekebisheni apo aiseee!!! Wachungaji huwa hawavai vibaragashia
😂😂😂
hahaaa yani hatar na nusu
Boraaa umenisaidiaaa
Nimefurahi kumuona mzee simba dhahili nimuisilam lakin hajaibagua dini mauwa yako🌷🌷🌷
MUNGU amuongoze tena sana ankitu ndani yake
Tuko pamojaa jaman adii mwishoo wa season❤❤❤
Finally mmetoa ingine nilikuwa nimengoja Kwa hamu Sana asanteni🎉🎉🎉
Movie nzur sana sana
Much love from saudi kazi njuri sana nawapenda sana
New season ❤❤❤ team bhailam pendwa kaz nzuriiii 🎉🎉🎉
Hayo ndio mambo na yoyapenda kazi nzuri boss
Haufananishwi nakitu kingine amen mzeee simbaaa huyooo gongeni like hapa wapendwa!😂😂🎉🎉
kama umemuona Naomi na JoJo gonga like hapa! this is an extraordinary movie with high standard. I from 254🇰🇪
Yan sijapenda kbs mzee simba nusu mkiristo nusu muislam mwandishi rekebisha sijapenda
Usikute uyo shetani mwenyewe nywele ni Rechoo😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂yani natamani ni yy akii mana nikivurugee yule
😅😅😆😆😆
😂😂😂😂😂😂😂
Wow Wow 💪💪💪💪🙏🙏🙏🇧🇮👌👌👌🔥🔥🔥🔥🔥
Team furus team kupambana team WiFi team kazi kazi nawasalimu mko poa nyote aya tusiwe karibu na shetani jamani.
Jamana COMEDY PLUS tunawapenda sana Maana mmeanza kutuburudisha Toka Kwenye WAKE WENZA mpaka Sasa na SHETANI hongereni sana ❤❤❤❤❤❤❤
Munaweza sana kàbisa Mungu azidi kuwaimalisha❤❤❤
mm nimefurahi kumuona Mzee Simba ni Wa ngapi wamefurahi kama mm waweke likes hapa hata 5
Ila kofia hiyo akiwa anasali na Biblia. Director kachemka..
Thanks for the show mach blessings from Allah
Team Bailam ni moto Sana wote tunawapenda hongeleni sana Mzee simba anajuwa jamani tena tunamupenda apewe mauwa yakee 🎉🎉🎉🎉🎉From malawi japo nipo south africa hila sijawahi kukosa kaz zenu ❤❤❤❤
Hongera sana bhailam hii movie imetulia sana❤❤❤
Moto sana aky hongera kwa mzee simba
Manshallah Movie Nzuli😮😮🎉🎉🎉🎉
Kakoso by Mwasi uko juu nkukubali Dadangu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Move love from 🇰🇪❤❤❤❤
Move Kali kinyama Sema Mzee simb umebug kuhubili uku ukiwa umevaa kofia ya kiislam 😂😂😂😂😂
😂😂
Kofia ni vazi tu jamani
saw mzee simba nakukubali kinoma mnoooo tenaaa mzee simba ushakuwa mchungaj
😂😂😂😂❤❤❤❤
Na kibarakaeshe juu 😂😂
Alieona pastor kavaa kibaragashia ngonga like
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
Hapooooo Sasa....
Tumeona😅
Hahahaaa
Hatareeeee ndani ya mjengo,mko vifresh wadau🎉🎉🎉🎉❤❤❤#mwasi uwepo wako nautambua 💋
Mwasi Kama mwasi much love from kenya 💞
Me n fun mkubwa wa clam na snake boy lakini hii Iko top ...Kali sana 🔥
Pastor ana vaa mtama wa chr
Kakosoo ndani ya nyumba 😂
Hii shetan kama ya moto hivii Yan akiwepo bhailam naomy na timu nzima ya comedy plus bac ujue mambo yanakua hot 🥵🔥🔥❤
Ep ya kwanza tu tumefunguliwa na dakika 23 we uogopii😂😂😂😂🔥
😂😂😂😂😂😂❤❤❤
kali sana🔥
😂😂😂😂 hhhhhh ah😅 Jamani leo nimecheka sanaaa MZEE WA NDO UZURI Leo umenikosha htry wallahi 😅 umekula rungu kwa naomi unawahdithia wenzako wanakucheka unajidai kukaza😂😂😂😂❤
Kazi nzuri sana na mzee simba na bint Naomi endeleeni kueneza injili ya yesu kristo aliyehai🙏🏽🙏🏽
Kbx weny macho ya roho wanajua nini maana yahii cinéma
Ila asingevaa hio kofia .... wachungaji hawavai iyo 😅@@AbcDef-p3q6v
Kazi kazi imeanza❤❤❤❤🎉
Nime pendezwa sana na Hio na fasi ameicheza mzee simba Mungu awabariki
Wanao mpenda mzee ndo uzuli nikuchane gonga like apa ❤❤
😂😂😂NDO UZURI UO❤
😂😂😂
Ndo uzuli
😂😂😂😂😂
😂😂
Hongera mxeee simbaaa kote kote upo hubagui dini bravooooooo ❤❤❤
😅😅😅 dhaaa ndouzurii kawa mchaw😅😅
Hakika ni kweli shetani yupo kazini na kafika, hakika inatupasa tutubu kwa bidii na kumrudia Mungu,
Mungu akuongoze bhailam uufunue ukweli wote uliojificha nyuma ya pazia
Kazi nzuri sana mzee simba nawakubali sana❤❤❤❤❤
Wow nice movie congrats❤❤
Haha mzee hamzaa imekula kwako hiyooo shetani na Mungu wapi nawapi🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️viboko sio vaichii hiyoo..hadi kibaraka amecheka
Yani ni fireeeeeee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
I love the way you guys act keep it up
Wakwanza leo nipeni maua yng
Wakwanza frm Burundi🇧🇮🇧🇮
Movi zuri san nampenda san naom mm hila hyoo shetani ni rechoo tu akuna mwwngine
Kazi mzuri na tumefurahi kumuona mwasi apewe mauwa yake ❤❤❤❤❤
Movie nzuli,naimependa ❤❤❤🎉🎉🎉
Nampenda san Naomy natman san aslim wallah ntafurahi
Wow ni nayo ni Moto🔥🔥🔥🔥wa kuotea mbali team Bailam hongereni sana nawatazama nikiwa inchi ya 🇰🇪 ❤❤❤
Jaman ninzur sana mno mwendelezi tu
Bailam ujawahi kutuangusha hili ni bonge la story na ni maisha yakweli tumludie mungu dunia iko ukingoni shukln sana bailam❤
New series first ☝️🔥🔥
😂😂😂apo kwamzee simba kua mchungaj Alf kavaa kibaragashia mmefeli
Kbs ata mm sijapenda
Ohh mzee simba hongera sanaaa 🎉🎉hongera team bhailam kazi,iko vema sanaaaa
Kakoso mke uko leo nakupenda
bure ❤❤❤
Mashaal asant sana ❤❤🎉🎉🎉🎉😢😢😢😂😂😂
yaani hii ni nzuri mnoo, mungu awaepushe na mitihani ili muweze kuitoa kwa wakati,
mauwanyenu🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri. Kenya Watching, twapenda
Me nahc huyo shetani ni rechoo maana😂😂😂😂
Mpegijaje humu Padri anavaa kibarakaa sheikh😇😇
Bien vraiment ❤❤🎉🎉
Do udhuli😂
Karibu sana series yetu mpya, mwanzo mzuri sana, tutajitahidi kuielewa❤
Very very nice 🎉🎉🎉 zenyu team izima
Waaaw karibuni sana mzee simba,jojo,Naomi, bhailam, karibu😢😢
Kama umegundua hio sebule ni ile ya my love tujuame kwa kopa ❤❤❤
Hii movie kali sana nimeipend aje hongereni timu yote mzee Simba waouh❤❤❤nzuli san shetani amefika😂
Waooooo nimependa jmn naomi na mzee simba mukicheza hivo nimefulahi sana ndo uzuli ameyatimba kumbe shetani 😅😅😅😅😅
Sasa mzee simba jaman mchungaj na kibagarashia wap na wap apo mmetupiga😂😂😂😂 lkn twawapenda❤❤❤
Mkovixuli Daah 🤣 tamu sana🇴🇲🇴🇲
Mzee ndo uzuri umetisha nakubali mjomba na hilo lishati 😂😂😂😂
Kazi nzuri jmni,Naomi nakupenda Bure mummy
Mzee Simba umechemsha yani umevaa Cha wallah kisha huku umebeba bibilia
hii ilikuwa nzuri zaidi na ina mafundisho makubwa lakini yule msichana aliyekupa kitabu akakwambia ukifiche yule shetani asije akakikamata na mimi niongezewe tafadhali hicho kitabu kichunge sana tusije tukasikia habari mbaya kwamba hicho kitabu kimefika mikononi mwa shetani dunia hii yote itaangamia hivyo vitabu vikifika mikononi mwa shetani jitahidi kuficha hivyo kitabu kwa sababu ndiyo ndicho kitakacho okoa watu wote ya watu wote😊😊
😂😂😂😂Una nini lakini
@@gyslaineiradukunda6731 kwa nini unasema una nini lakini
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
and if I have done wrong writing this, please forgive me 🙏🙏🙏🙏😢😢
and if I have done wrong writing this, please forgive me 🙏🙏🙏😢😢
Ndugu zangu naomba niulize kitu pasta naiyo kitu kicwani na bible sielewi ni chehe au pasta😂😂😂😂
Huyu nimchungaji ama shekhe😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
So interesting.
Asante kwa hizo Idea nzuri, na pia asante kwaku tukumbusha gisi tuwe tayari mda wote
Kila ulimi utakiri ya kwamba YESU ni BWANA . Nahona ata waislam mnaanza kukiri, Amina Sana .
Acha ukuma umbwa wewe ,,dini ni moja tu na yesu ni mtume wa mungu sio mungu kama munavyo sema labda waislamu wa huko kwenu
Sio kosa lake muelewe uoni ana itwa selemani….amna sele alie zaliwa mrefu akawa na akili sio kwl
@@saumbliz8983 ndo dini yenu inavyo wafunzaga ivyo kutukana watu? Maana kila mwislam akitaka kuutetea uislam lazima atukane.
Sasa apo waislam waingiaje apo yan watu wengine bwana
Aky hii video ni nzur nmeipenda maana kiukweli dunia imefika mwisho
Asanteni kwa move nzuri ❤❤❤❤
Amina muzee manganya nafurahi ku ku ona ukiwa Pastor
Comedy plus hamkosei ❤❤❤❤ more
Watu wa maana kabisa, naiona Hollywood ndani ya bongo movie 👏👏
saw asant nasisi tunawakaribisha Burundi tushikamane
❤❤❤❤❤❤❤❤
Hii kali ya mwaka jmn Tumeanza mwanzo km team strong n tutamalizana nayk love from 🇰🇪🇸🇦🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰 like zangu please 🙏
🇹🇿🇴🇲✌️
Tupo wenye wafii.yabure😂😂😂😂
🇹🇿🇴🇲
kazi nzuri sana wanaokubaliana na mm dunga like aapa
Waoooo🎉🎉🎉🎉🎉 mzee simba
Nmefurah kumwona mwasi huku,napenda sana movie za kutisha hahahaa