SHILINGI Ep 132

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 мар 2025
  • Subscribe kufuatilia tamthilia ya Shilingi kuanzia Mwanzo hadi Mwisho katika Channel hii.
    Comment kutuambia unachofikiria.
    Share na wenziyo wajue tuanze mwendo Episode zaidi ya moja kwa siku
    Like kuonyesha Love
    Mazuri mengi yanakuja Soon

Комментарии • 185

  • @aswaneliphas2271
    @aswaneliphas2271 Год назад +19

    OG nembo wa mtaa from kenya👍wenye wanapenda baba Edna tujuane kwa like

  • @fatimafatuma4848
    @fatimafatuma4848 Год назад +22

    Nimekuwa wakwanza Leo kutoka Kenya nawapenda sana Edina na maiko na wameenda sana❤❤❤

  • @Sayd-pi5lq
    @Sayd-pi5lq Год назад +56

    Leo wa kwnza km kwl umefraishwa na mauciano ya edna na Michael pita na like❤

    • @Shokolokobango9385
      @Shokolokobango9385 Год назад +1

      Sio maiko ni david

    • @Sayd-pi5lq
      @Sayd-pi5lq Год назад +1

      @@Shokolokobango9385 chogo kaa mwiko uyo ni Michael mtukutu

  • @Kapela-j
    @Kapela-j Год назад +10

    We really appreciate you Mr DJ
    Continue boosting us with this wonderful experience of good series

  • @clainchesco9167
    @clainchesco9167 Год назад +15

    Jaman mauwa kwa edina na maiko kwa mapenz yao ya dhati❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @Smart7-b5e
    @Smart7-b5e Год назад +12

    Wow shilingi is the best ❤❤

  • @Zafarankanyange
    @Zafarankanyange Год назад +7

    Shilingi ni 🔥 wangine tunakesha nayo🇨🇦🇨🇦

  • @nadineshimirimana7483
    @nadineshimirimana7483 Год назад +7

    tuna enjoy na shilingi tuma nyingine Dj❤❤❤

  • @maryd1538
    @maryd1538 Год назад +3

    Wow shilling nd mamb mbaya❤❤❤❤

  • @ngalakirao1881
    @ngalakirao1881 Год назад +2

    Aki hii shilingi ni nzuri Sana na mi🔥🔥🔥🔥🔥

  • @SarahTsuma-w3v
    @SarahTsuma-w3v Год назад +4

    Hakika tuna enyoy na shilingi ❤❤❤ ..inatufunza

  • @GhaliSalim-s6f
    @GhaliSalim-s6f Год назад +4

    Woooo Leo nimewahii🎉🎉🎉🎉

  • @bawilimbuto6538
    @bawilimbuto6538 Год назад +7

    Edina mambo ya Mungu 🙏🙏

  • @AdejaAhmad-uq4wj
    @AdejaAhmad-uq4wj Год назад +1

    Tunainjoi sana ❤❤❤hongereni nyote nawapenda bureeeeeeeh

  • @abumoyo840
    @abumoyo840 Год назад +3

    Mjomba kinachotakiwa n mkushukuru Mungu n maneno ya Gutale 😂😂😂

  • @SalhaSalhaa
    @SalhaSalhaa Год назад +4

    Daaah huyu boss wa chande ana roho ngumu kweli mungu atusaidie tupate maboss wenye kujali😢

  • @fatumamwayawe7598
    @fatumamwayawe7598 Год назад +1

    Roma nakupenda kwa Ajili ya Allah ❤❤❤🎉🎉🎉... Unatufurahisha sana pokea maua yako baba🌹💐🌹💐🌹🌹💐🥰🥰

  • @magnibrondi3152
    @magnibrondi3152 Год назад

    Juma Leo, kibena kakuweza

  • @habibaa9503
    @habibaa9503 Год назад +1

    Natarajia kuona mico na Edna wanaowana❤❤❤

  • @EdnaRabera
    @EdnaRabera Год назад +1

    Aki nibeeni Leo nawapenda

  • @umau65
    @umau65 Год назад +5

    Magical. Watu wameikubali shilingi. ❤❤❤❤

  • @AgnessAgness-w6s
    @AgnessAgness-w6s Год назад

    ❤❤❤nazidi kuwapenda

  • @mariamibrahimsadakas
    @mariamibrahimsadakas Год назад +1

    Chande😂😂😂ety baby walker😂😂😂😂

  • @odettebarengeke2469
    @odettebarengeke2469 Год назад +1

    Good job Kibena ku mpoozesha chuma 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mauwa yako kibena

  • @CuthbertFanuel
    @CuthbertFanuel Год назад +2

    Chande mademu wanamgombania,,ngoja nimwambie kurya boy😂😂

  • @JonhNdege
    @JonhNdege Год назад

    Ongelen xana kaz nzuri

  • @fielfrederico4962
    @fielfrederico4962 Год назад

    Moto 🔥🔥🔥kwenye shilingi 💪💪, from MSUMBIJI🇲🇿🇲🇿

  • @Safarikenga-tf3si
    @Safarikenga-tf3si Год назад +1

    Congratulation shilingi

  • @JasmineKilimo
    @JasmineKilimo Год назад +2

    Jamani raha sana shilingi ❤

  • @neemakatabi1255
    @neemakatabi1255 Год назад +2

    Asantee mama wema kutukumbusha kuishi kwa malengo mjenge mwanao

  • @MwanaApollo-qi7fb
    @MwanaApollo-qi7fb Год назад

    Asalam aleykum warahmatullahi wabarakatu Vipi hali tunaulizia Kuhusu shilingi Vipi

  • @janethyambazi2604
    @janethyambazi2604 Год назад +2

    Shilingi mambo yanazidi kuwa 🔥🔥

  • @salafinatanzani2813
    @salafinatanzani2813 Год назад +1

    Jaman shilingi tamuuuuu mpaka nimesahu kupika 😂😂😂😂😂haki ya Mungu 😊😊

  • @geofreymelchiad-vo5mf
    @geofreymelchiad-vo5mf Год назад

    😂😂😂😂😂 hivi movie nimetisha

  • @omanoman2923
    @omanoman2923 Год назад

    David na edna respect nawapenda bure

  • @omanoman2923
    @omanoman2923 Год назад

    Sema wema asikupend kuachana na saju

  • @shaphaina9941
    @shaphaina9941 Год назад +5

    Ila hapa kwenye mapacha mumeenda mchomo kidogo maana mungeliweka tofauti japo moja ima kwenye meno mumtie kapeni ili aonekane km anamwanya au tofauti yoyote ile

    • @shumeyahamisi2053
      @shumeyahamisi2053 Год назад

      C mmoja mkorofi mwengine mstaarabu

    • @لنلنتبتب
      @لنلنتبتب Год назад +1

      Mungeichezesha kama hatia vile alicheza Patrick na Joseph ndunguru ilikuwa poa

  • @musamatewa-gj1dp
    @musamatewa-gj1dp Год назад

    Iv nan anamuelewa ngokwe kam mm

  • @thomaschenge-lc8wf
    @thomaschenge-lc8wf Год назад

    kama umemic kumuona mzee tumbo tumbo gonga like

  • @fadhilatoba
    @fadhilatoba Год назад +2

    Fire 🔥 shilingi ni hatari na nusu ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @hassangambo3879
    @hassangambo3879 10 месяцев назад

    Mzee ngokwe morali sana...

  • @rahmajuma2946
    @rahmajuma2946 Год назад +1

    Chandeee😂😂😂 Unaongea na Makochi😂😂😂😂😂

  • @y5y5prime58
    @y5y5prime58 Год назад

    Wiiiiiiiiiii nimekua wamwisho jmn mautam Yamesh nipit🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @dorothykawira-l2x
    @dorothykawira-l2x Год назад

    Maua ya DJ 🥀🥀🥀🥀🥀🌹

  • @fredrickbilaury7466
    @fredrickbilaury7466 Год назад

    Masikini Chande ama kweli Uchawi upo.!!

  • @priscakimburi-sl9ml
    @priscakimburi-sl9ml Год назад

    😂😂😂😂😂😂chande kimemurambaa et babywoker inauzwa pesa ngapi ❤❤❤❤

  • @Nahdiya-nr3de
    @Nahdiya-nr3de Год назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂 kimeumana chande io kwio 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂leo n Leo kitapambana

  • @حليمهالبلوشي-ز5ث

    😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤ana shida yakufa uyo chuma😂😂

  • @jaimessimeone6750
    @jaimessimeone6750 Год назад +1

    Mambo yanazidi kumchemkia chande😂😂😂

  • @ashuuabdu1638
    @ashuuabdu1638 Год назад

    Chuma ckuhurumii coz wapenda ugomvi

  • @salmsalmo931
    @salmsalmo931 Год назад

    Chande jaman una visa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @estr1003
    @estr1003 Год назад +1

    Woyooo 😂😂❤❤ wa kumi na tano Leo 😁

  • @MwanapiliKaingu
    @MwanapiliKaingu Год назад +1

    Mapenzi ya kweli Edina na micle

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад

    Jamani mabosi wenye pesa zao lazima tuzalilishwe tuupole chande jamani devidi mungu awabariki na edina wako na wapambe wako butale na ibra

  • @rizikaCharo-kn7se
    @rizikaCharo-kn7se Год назад

    Weeee, chuma kibena kakuweza😂😂 kampige maiko sasa

  • @Nahdiya-nr3de
    @Nahdiya-nr3de Год назад +1

    Mjomba alikua BDO amelala ndo yuaamka xx 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @abumoyo840
      @abumoyo840 Год назад

      Mjomba ataka kumvuruga Gutale

  • @husnaibrahim2107
    @husnaibrahim2107 Год назад

    Watu wanenee sikuzote hatunaaa nguvuuuu 😂😂😂😂😂😂😂

  • @hassangambo3879
    @hassangambo3879 10 месяцев назад

    Tantto...veramente mi sono piaciuto❤

  • @MuhindoKahukula-ml9fz
    @MuhindoKahukula-ml9fz Год назад

    Mfano wagokwe nimatata sana

  • @lydiasamwel9728
    @lydiasamwel9728 Год назад +1

    Shilingi yetu ni motooo🎉🎉🎉

  • @halemamoon1782
    @halemamoon1782 Год назад

    Chande utakosa mshahara shaur yako😂😂😂😂

  • @angeliqueniyonzima3850
    @angeliqueniyonzima3850 Год назад +2

    Bug up sana shilling ❤❤🎉🎉

  • @simonmalanga7811
    @simonmalanga7811 Год назад +3

    Hakika tuna enjoy❤❤

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 Год назад +2

    Mashallah ❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @IsaackMwasinini-bl2cz
    @IsaackMwasinini-bl2cz Год назад +1

    Mama wema Ni kama anamfukuza wema kumbe anamjengea kesho yake

  • @mbaroukkhamismohd1787
    @mbaroukkhamismohd1787 Год назад +3

    Like japo 5 love 💘 shiling

  • @OmaryBashiru-p9l
    @OmaryBashiru-p9l Год назад

    Wema hanamalengo anawaza mwanume mwenye hela

  • @Clareindusa-qp5gc
    @Clareindusa-qp5gc Год назад

    Leo nimewai mama wema mpe advice nzuri na edina na maiko hongera

  • @mejumaa1535
    @mejumaa1535 Год назад +2

    Jmani humu ndani mwalala kweli

    • @salmsalmo931
      @salmsalmo931 Год назад

      Tunaanzaje kulala ni mwendo wa shilingi

  • @NamtoWashikala-gx7bv
    @NamtoWashikala-gx7bv Год назад +2

    Tupo makini moja tu

  • @hadijaamini
    @hadijaamini Год назад

    Ila chidy eti yanalia pwaa wwe ngu 😂😂😂😂😂

  • @IluMshana-ni8xf
    @IluMshana-ni8xf Год назад +1

    Jini ana vinguo kama ajiuza😂

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol Год назад

    Chande kimeumana chande kula chuma hcho 😂😂😂😂😂

  • @AncyMerci-un2nu
    @AncyMerci-un2nu Год назад

    Kkkkkkkk hauna hela lakini unataka wanawake kazi yenyewe huna unapokeya kwa shida 😱🥱

  • @mbarukumwachapwani9735
    @mbarukumwachapwani9735 Год назад +1

    Nimepnda husia w mama wema

  • @shumeyahamisi2053
    @shumeyahamisi2053 Год назад

    David akisema yy c maiko shangazi atataka kujua alipo maiko😮

  • @NaifinMohamed
    @NaifinMohamed Год назад +2

    Chuma kala chuma😂

    • @Realme-xm3sh
      @Realme-xm3sh 11 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @NamtoWashikala-gx7bv
    @NamtoWashikala-gx7bv Год назад +1

    Nipeni ongera zangu

  • @wilsonelijah
    @wilsonelijah Год назад

    Wema mapenzi hayawezi atafute shamba akalime🤣🤣🤣

  • @nadzuwamangale1186
    @nadzuwamangale1186 Год назад

    Mwendlz dj ❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @MarryChuwa-jy5is
    @MarryChuwa-jy5is Год назад

    Wanapendezeana Sana Edna na maiko nimeipenda hiyo.

  • @nurumwinyi796
    @nurumwinyi796 Год назад

    Huyu bbake kibena vp,nimeanza kumuogopa asije akamdhuru david wetu

  • @Lucy-bn1tz
    @Lucy-bn1tz Год назад +1

    😂😂😂😂😂Chandeee 😂😂😂😂😂🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Shilling Ni tamu 😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉 like Kwa Chandeee😅 Bas

  • @mtumwaali9438
    @mtumwaali9438 Год назад +1

    Mpeni chande pesa zake musimfundishe matumizi

  • @rosemarenga832
    @rosemarenga832 Год назад

    ❤❤❤ asant san dj

  • @RAYMONDKORNEL-gb8ty
    @RAYMONDKORNEL-gb8ty Год назад

    Chande iyo kwiyo😘🥰🥰😘

  • @tajilimtoto5009
    @tajilimtoto5009 Год назад +1

    Mganga mwakatobe njoho umuone mganga waukweli uku anafufua wafu sio wewe ngonjera nyingi

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo Год назад

    Chande huwishi vituko😂😂😂😂

  • @nailaty
    @nailaty Год назад +1

    Mapemaaaa

  • @CHW122-tl8ot
    @CHW122-tl8ot Год назад +1

    Aliyeelewa maneno aliyosema ngw0kwe kwa shangazi yake maiko nani na ameelewaje hilo,fumbo?

  • @habibahosseni2918
    @habibahosseni2918 Год назад

    Leten muendelezo bwans

  • @salafinatanzani2813
    @salafinatanzani2813 Год назад

    Chumaaa masikini jaman yani kiben😢😢

  • @sokisigrace6836
    @sokisigrace6836 Год назад

    Chande we noma

  • @EDWINNjoki-l6g
    @EDWINNjoki-l6g Год назад

    Kama kawa kama dawa

  • @mohammedyHamza
    @mohammedyHamza Год назад

    hiii imeendaaa

  • @ancillarneema
    @ancillarneema Год назад

    Asante dj🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @lenakassian-pr3dy
    @lenakassian-pr3dy Год назад

    WEMA atalia kama mmbwa ana Baki kuchanganya TU wanaume alafu yule maiko cjui atakufa cjui vip hee

  • @nailaty
    @nailaty Год назад

    Kweli devd ana siri yy sio maiko na shangazi yake anajua yy ni maiko

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol Год назад

    Shiling tamu San lkn wengine tuachika Kwa waumezetu twatumiwa sms pia hatuzioni kweli

  • @rahmajuma2946
    @rahmajuma2946 Год назад

    Wema mskize mama Anacho sema